post-feature-image
HomeBurudani

WASTARA AKANA KUCHUMBIWA

Stori: Hamida Hassan STAA wa filamu za Kibongo, Wastara Juma, amepinga vikali taari...

JIDE, DOGODOGO GUMZO MJINI! DOGO ANASWA NA MKOKO WAKE
SINA RAFIKI STAA BONGO MOVIES - SHAMSA FORD:
DIVA WA CLOUS FM, AUNT KIMENUKA KISA MUME WA MTU!
Stori: Hamida Hassan STAA wa filamu za Kibongo, Wastara Juma, amepinga vikali taarifa kuwa ametolewa posa na msanii mwenzake, Bond Bin Sinan  na kusema kuwa kwa sasa hahitaji kuchumbiwa, wala bwana kwani hajaamua kwenda huko.
Staa wa filamu za Kibongo, Wastara Juma.
Akikitendea haki kipaza sauti cha Ijumaa Wikienda, Wastara alisema anaona kuwa aliyeeneza habari hizo anamuwangia kwani hana wazo la kuchumbiwa kwa sasa.
“Sitaki kuolewa wala kuchumbiwa, wala bwana bado sijaamua kwenda huko,” alisema Wastara ambaye amekuwa akipinga vikali kuwa na uhusiano Bond licha ya kuonekana naye kwenye pozi tata mara kwa mara.
Name

Burudani Habari Hot News Magazeti Majuu Michezo Teknolojia/Movie Track (Audio & Video)
false
ltr
item
Tabasam Blog: WASTARA AKANA KUCHUMBIWA
WASTARA AKANA KUCHUMBIWA
http://api.ning.com:80/files/Ov90wJC7zCy9vPD2Y*SQe3CQJJjONG*fL*iopXYbdQ58JR9bwJPD1OsUMbIk-CWYOTUwTiT-jSkKzC6MTR9d*zJwSMU-bicy/wpidwastara2.jpg?width=650
Tabasam Blog
https://tabasmtza.blogspot.com/2014/12/wastara-akana-kuchumbiwa.html
https://tabasmtza.blogspot.com/
http://tabasmtza.blogspot.com/
http://tabasmtza.blogspot.com/2014/12/wastara-akana-kuchumbiwa.html
true
939923276739022787
UTF-8
Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago