post-feature-image
HomeBurudani

AMANDA AZUA BALAA MTAANI

Msanii wa filamu, Tamrina Posh ‘Amanda’ hivi karibuni alizua balaa la aina yake baada ya kukatiza mtaani akiwa amevaa kig...

SIRI PENZI LA ANTI LULU, BONDI YAFICHUKA
WEMA AZUA KIZAAZAA GEREZANI CHINA
DIAMOND KUFUNGWA JELA MIAKA MITATU!


Msanii wa filamu, Tamrina Posh ‘Amanda’ hivi karibuni alizua balaa la aina yake baada ya kukatiza mtaani akiwa amevaa kigauni kilichokaribia kuacha wazi makalio yake.
 
Msanii wa filamu, Tamrina Posh ‘Amanda’ akiwacharukia wanaume waliokuwa wanampigia miluzi huku wakimzodoa.
Tukio hilo lililowashangaza wengi lilijiri eneo la Mwenge Bamaga jijini Dar wakati msanii huyo alipokuwa akitembea kuelekea kwenye mgahawa uliopo eneo hilo.
Huku akitembea kwa staili ya ‘hamsini…mia…hamsini…mia…’, Amanda alionekana kufanya makusudi kwani kadiri wanaume walivyokuwa wakijikusanya kumshangaa, ndivyo alivyoongeza mikogo na kuwaacha miudenda ikiwatoka.
 
‘Amanda’ akiingia kwenye gari kuondoka 
Kutokana na hali hiyo, baadhi ya wanaume ambao wengi wao ni madereva wa Bajaj na mafundi gereji walionekana kumzodoa huku wakieleza kuwa, ni msanii asiyejiheshimu.
“Yule kutuvalia sisi vile ndiyo nini? Mavazi yale yanavaliwa klabu usiku tena wanaovaa vile ni wale wasioithamini miili yao, tukisema anatutangazia biashara tutakuwa tunakosea?” alihoji fundi mmoja aliyefahamika kwa jina la Juma.
 
Tamrina Posh ‘Amanda’ akipozi.
Katika kujua sababu ya kuvaa kigauni hicho, mwandishi wetu alimfuata Amanda lakini kabla ya kuulizwa chochote aliingia kwenye gari na kuondoka zake baada ya kuwachimba mkwara waliokuwa wakimpigia miluzi. Baadaye alipopigiwa, simu iliita bila kupokelewa.
Name

Burudani Habari Hot News Magazeti Majuu Michezo Teknolojia/Movie Track (Audio & Video)
false
ltr
item
Tabasam Blog: AMANDA AZUA BALAA MTAANI
AMANDA AZUA BALAA MTAANI
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh8s218ldp59oCC39-GOYz9O0YFqtfF63hT4rLBJY6f-H577hZlkuY5RqjY31xsRrRD9VLv1AAtD7FkdurYQCXDmRuYDnqgKEog-efrBqtKJiulPhwBm5IDJXSkA0s_mxVVyxqXy95qP-0/s1600/AMANDA2.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh8s218ldp59oCC39-GOYz9O0YFqtfF63hT4rLBJY6f-H577hZlkuY5RqjY31xsRrRD9VLv1AAtD7FkdurYQCXDmRuYDnqgKEog-efrBqtKJiulPhwBm5IDJXSkA0s_mxVVyxqXy95qP-0/s72-c/AMANDA2.jpg
Tabasam Blog
https://tabasmtza.blogspot.com/2014/09/amanda-azua-balaa-mtaani.html
https://tabasmtza.blogspot.com/
http://tabasmtza.blogspot.com/
http://tabasmtza.blogspot.com/2014/09/amanda-azua-balaa-mtaani.html
true
939923276739022787
UTF-8
Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago