post-feature-image
HomeBurudani

Sketi fupi; Polisi akwenda mahakamani

Koplo wa polisi matatani eti sketi imembana Koplo wa Kitengo cha T...

GARDNER KWA HALI HII SASA IDE BASI TENA
BABA WA MSANII ASHUSHA KICHAPO, Kisa Prodyuza kumchezesha Mwanaye kwenye Filam
MGANGA ANAYEDAI KUMNG’ARISHA MENINAH ATOBOA SIRI NZITO
Koplo wa polisi matatani eti sketi imembana
Koplo wa Kitengo cha Traffiki aliyepigwa picha akiwa amevalia sketi iliyomabana makalio amelazimika kukimbilia mahakamani kuokoa kazi yake.
Linda Okello alikimbilia Mahakamani Baada ya wakubwa wake kutaka kumchukulia hatua ya kinidhamu wakidai alikosa nidhamu ya kazi alipovalia sketi iliyoonesha umbo lake akiwa kazini
Kinyume na kanuni za idara ya polisi ya mwaka wa 2011.
Dada huyo aliyezua mjadala kote duniani kuhusu wanawake waliojaliwa makalio makubwa na kama wanabaguliwa kutokana na maumbile yao amemshtaki Inspekta mkuu wa polisi nchini Kenya miongoni mwa tume inayosimamia polisi nchini humo.
Koplo Linda anasema kuwa Afisa mkuu wa wilaya ya kiambu Stephen Ngetich hata hakuwepo katika eneo la tukio lakini ndiye aliyemshmtaki.
Linda alipigwa picha akilinda usalama katika mashindano ya mbio za magari ya Kiambu na picha hiyo ikaenea sana katika mitandao ya kijamii kuhusiano na urefu wake na pia makalio na umbo lake .
Makalio makubwa yamtia Koplo wa polisi matatani
Sasa koplo huyo anaitaka mahakama ifutilie mbali kesi ilyoko dhidi yake akisema,kuwa anahisi ataonewa na wakubwa wake kutokana na majaliwa yake .
Aidha koplo huyo huyo anasema kuwa japo alipewa Suruali ndefu mbili iliasiivae tena sketi hiyo yake ,Koplo anadai kuwa bosi wake hakuwahi kumkaripia kwa kuivalia na kuwa madai dhidi yake yanashinikizwa tu na watu waliovutiwa na mjadala katika mitandao ya kijamii.
Alipigwa picha na mwanahabari mmoja wa gazeti moja maarufu nchini Kenya akiwa na wenzake kazini mjini Kiambu.
Lakini punde si punde picha hiyo ikaanza kusambazwa kwa mitandano ya kijamii na baadhi wakiikejeli.
Taarifa ya polisi huyo kuonywa ilizua hasira kwenye mitandao ya kijamii baadhi wakihoji ikiwa ni makosa kwa afisaa wa polisi kuvalia sketi ya kumbana.
Nini Kauli yako?
Name

Burudani Habari Hot News Magazeti Majuu Michezo Teknolojia/Movie Track (Audio & Video)
false
ltr
item
Tabasam Blog: Sketi fupi; Polisi akwenda mahakamani
Sketi fupi; Polisi akwenda mahakamani
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2014/06/04/140604164205_sketi_fupi_polisi_akimbilia_kortini_kuokoa_kazi_yake__512x288_bbc_nocredit.jpg
Tabasam Blog
https://tabasmtza.blogspot.com/2014/06/sketi-fupi-polisi-akwenda-mahakamani.html
https://tabasmtza.blogspot.com/
http://tabasmtza.blogspot.com/
http://tabasmtza.blogspot.com/2014/06/sketi-fupi-polisi-akwenda-mahakamani.html
true
939923276739022787
UTF-8
Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago