post-feature-image
HomeBurudani

Ali Kiba: Atoboa kuhusu 'mapenzi' na Lulu,ugomvi na Diamond-2

Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Ali Salehe Kiba maarufu Alikiba, amezungumzia yaliyomsibu hata kujiweka kando ya shughuli za muziki na...

WASTARA AACHIA PICHA TATA INSTAGRAM - ZITAZAME HAPA
DULLY SYKES ATOLEA UFAFANUZI WIMBO WAKE WA ‘MATUSI’
BABY MADAHA ADAIWA KUAMBUKIZWA GONJWA BAYA
Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Ali Salehe Kiba maarufu Alikiba, amezungumzia yaliyomsibu hata kujiweka kando ya shughuli za muziki na ujio wake mpya.
Kiba alijiweka kando ya muziki kwa muda wa miaka mitatu, huku upande wa pili akikumbwa na skendo mbalimbali kuhusu maisha yake binafsi.
Baadhi ya mambo hayo ni madai ya kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mwigizaji Elizabeth Michael(Lulu). Pia kuwapo kwa taarifa za kusaini mkataba mkubwa na Kampuni ya Sony Music Africa iliyopo nchini Afrika Kusini.
Lakini kubwa ni madai kwamba kupotea kwa Kiba kumetokana na ujio na kukomaa kimuziki kwa msanii Naseeb Abdul (Diamond) na vilevile wakidaiwa pia kuwa na ugomvi uliokosa suluhu.
Gazeti hili lilimtafuta Kiba kutaka kujua mambo mbalimbali ikiwamo uhusiano wake na Diamond, ambapo katika gari yake msanii huyo alikutwa akisikiliza nyimbo za msanii Diamond Plutnumz, ‘Mawazo’.
Ifuatayo ni sehemu ya mahojiano hayo yaliyofanyika nyumbani kwa msanii huyo Kunduchi Beach.
Mwandishi: Naona unasikiliza nyimbo za Diamond kwa hisia, vipi uhusiano wenu, inadaiwa mna ugomvi mkubwa, tatizo nini?
Ali Kiba: Bifu langu na Diamond limejengwa na vyombo vya habari na mitandao ya kijamii. Sijawahi kumchukia, wala sidhani kama na yeye ilitokea kwake. Naona kuna wafuasi wangu na mashabiki  wanaozungumza hivyo kama maoni yao kwenye picha au matukio yanayowekwa katika vyombo vya habari.
Mwandishi: Unamwelezeaje Diamond?
Ali Kiba: Ni mwanamuziki aliyeifanya Tanzania ijivune kwa muziki mzuri. Lakini pia anajitahidi  kutafuta soko la muziki nje na kukuza muziki wetu kwa kuutangaza katika soko la kimataifa.
Nilipoishia mimi kwa wakati ule, yeye amekwenda mbele zaidi. Najivunia hilo, lakini ajue kwamba, nami ninarudi kwa kasi ya ajabu.
Mwandishi: Una bifu na chombo chochote cha habari?
- mwananchi.
Name

Burudani Habari Hot News Magazeti Majuu Michezo Teknolojia/Movie Track (Audio & Video)
false
ltr
item
Tabasam Blog: Ali Kiba: Atoboa kuhusu 'mapenzi' na Lulu,ugomvi na Diamond-2
Ali Kiba: Atoboa kuhusu 'mapenzi' na Lulu,ugomvi na Diamond-2
http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2357060/highRes/769913/-/maxw/600/-/bjicliz/-/kiba.jpg
Tabasam Blog
https://tabasmtza.blogspot.com/2014/06/ali-kiba-atoboa-kuhusu-mapenzi-na.html
https://tabasmtza.blogspot.com/
http://tabasmtza.blogspot.com/
http://tabasmtza.blogspot.com/2014/06/ali-kiba-atoboa-kuhusu-mapenzi-na.html
true
939923276739022787
UTF-8
Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago