post-feature-image
HomeTrack (Audio & Video)

Live:- Mshiriki wa kike wa Tanzania ( Laveda ) anaswa na kamera Akipiga Puli ( Akijichua).....Idris Aingilia kati - Big Brother Africa

Leo  ni  siku  ya  20  tangu  Big Brother  Africa  ya  Mwaka  huu  ianze. Naamini   kwa  wale  wanaoifuatilia  wanaburud...

New Track:- Ben Pol aurudia wimbo wa Sam Smith ‘Stay With Me’, Ni Shida!
Sparrow ft Makamua, T Nock and Solace Official Video
Video:- Said Fella aelezea jinsi alivyosaka mchongo wa Shaa kulipwa kupitia YouTube

Leo  ni  siku  ya  20  tangu  Big Brother  Africa  ya  Mwaka  huu  ianze. Naamini   kwa  wale  wanaoifuatilia  wanaburudika  vya  kutosha  na  mambo  yanayotendeka  ndani  ya  jumba  hilo.

Ni  Shindano  ambalo  halikuanzishwa  kwa  lengo  la  kuenzi  mila  na  desturi  za  kiafrika, bali  lilianzishwa  kwa  lengo  moja  tu  la  kutoa  burudani  ya  kutosha  ambayo  mwisho  wa  siku  itawawezesha  waanzilishi  kujipatia  pesa.

Turudi  kwenye  pointi  yetu,  kama  ilivyo  kawaida  ya  siku  ya  Ijumaa  ndani  ya  jumba  hilo, usiku  wa  kuamkia  leo  washiriki  walikuwa  wakiparty  pamoja   kwa  kucheza  na  kunywa.

 

Baada  ya  burudani  hiyo  iliyosimamiwa  vilivyo  na  Dj Izzy  toka  Botswana, dada  yetu  Laveda  ambaye  anaiwakilisha  Tanzania  katika  jumba  hilo  alitoka  na  kuelekea  kitandani.

Akiwa  na  mzuka  wa  kutosha, Laveda  alijifunika  shuka  na  kuanza  kujichua( kupiga puli)  pole pole.

Mtu wa  kwanza  kumshuhuda  Laveda  "akili PULINETI"  ni  mwana  dada  Mam Bea  ambaye  alistushwa  na  mnong'ono  wa  sauti  za  mahaba  .

Ndipo  mrembo  huyo  alipotoka  na  kuwajuza  wenzake  ambao  hata  hivyo  hawakuonekana  kumjali  kwani  "Pini" lilikuwa  bado  linaendelea!

 
Mam  Bea  aliendelea  kuueneza  umbea  huo, hali  iliyomfanya  Idris( mshiriki  wa  kiume  wa  Tanzania)   apandwe  na  hasira  akitaka  suala  hilo  liachwe  kujadiliwa.

 
"Acheni  Ujinga  bana, mna  ajenda  gani,?  Nini  kigeni?  Ntapiga  mtu  mimi!,"  Alifoka  Idris  akiwataka  washiriki  wenzake  waliache  suala  hilo.

 
Hasira  za  Idris  zilifanikiwa  kudhibitiwa  na  Mr. 265  ambaye  alimshika  na  kumsihi  apunguze  hasira.

 
" Yaishe  mtu  wangu,  Hasira  za  nini  kamanda? Achana  nao!," alisikika  Mr. 265  akimsihi  Idris.  

Ni  ukweli  usiopingika  kuwa  Idris  ni  mzalendo  wa  kweli  na  anaipenda  Tanzania  na  ndo  maana  alipandwa  na  hasira  baada  ya  kuona  Laveda  anazongwa zongwa. 

 

Mangapi  yanafanyika  mle  ndani?  Watu  wanaoga  pamoja, tena  uchi  wa  mnyama?


Eti  leo  hii  mwenzao  kaamua  kupiga  punyeto  kupunguza  hamu  wanaanza  kumsengenya!!? Hiyo  sio  haki. Safi  sana  Idris  kwa  kumtetea  Mshiriki  mwenzako  na  mtanzania  mwenzako.


Laveda  ni  mtu  mzima, ana  hisia  kama  binadamu  wengine.  Pamoja  na  yote, bado  ni  mtu  ambaye  kimaadili  anaongoza  ndani  ya  jumba  hilo. Kama  huamini, tazama  video  za  washiriki  wanapokuwa  bafuni  uone  ni  jinsi  gani  anaoga.


Leo  ni  siku  ya  20, nakuhakikishia  hutaona  video  hata  moja  ikiyaanika  maziwa  yake  hadharani. Ni  mtu  ambaye  huoga  na  nguo  tofauti  kabisa  na  washiriki  wengine.


Kesho  jumapili, Mshiriki  mmoja  au  wawili  watayaaga  mashindano  hayo. Laveda  ni  miongoni  mwa  watu  walioko  hatarini  kutolewa  kesho.


Kura  yako  inahitajika  sana  kumfanya  asitoke. Kuwa  mzalendo, mpigie  kura  mtanzania  mwenzako.


Matukio  yote  ya  big  brother  yanaruka  hewani  mtandaoni  kupitia  www. bigbrotherafricans.com


Usikubali  kupitwa  na  tukio  lolote  << Ingia  hapa>>


Ingia  hapo  juu  kwa  habari  zaidi  za  big  brother
Name

Burudani Habari Hot News Magazeti Majuu Michezo Teknolojia/Movie Track (Audio & Video)
false
ltr
item
Tabasam Blog: Live:- Mshiriki wa kike wa Tanzania ( Laveda ) anaswa na kamera Akipiga Puli ( Akijichua).....Idris Aingilia kati - Big Brother Africa
Live:- Mshiriki wa kike wa Tanzania ( Laveda ) anaswa na kamera Akipiga Puli ( Akijichua).....Idris Aingilia kati - Big Brother Africa
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh_SxeOqo6tJL60HdjKQvjQ6JLbwYqanKCDPJ3SxkAtiK3JeLm3JEy8aBAPoBiYV0069_VKYGL_JBA5UJb8xyMDEGFfbMtvpCrO5f72HawDRlm_YR2HGv4vbvtqFcQBl4oFJgesAw2PyT4h/s1600/1.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh_SxeOqo6tJL60HdjKQvjQ6JLbwYqanKCDPJ3SxkAtiK3JeLm3JEy8aBAPoBiYV0069_VKYGL_JBA5UJb8xyMDEGFfbMtvpCrO5f72HawDRlm_YR2HGv4vbvtqFcQBl4oFJgesAw2PyT4h/s72-c/1.jpg
Tabasam Blog
https://tabasmtza.blogspot.com/2014/10/live-mshiriki-wa-kike-wa-tanzania.html
https://tabasmtza.blogspot.com/
http://tabasmtza.blogspot.com/
http://tabasmtza.blogspot.com/2014/10/live-mshiriki-wa-kike-wa-tanzania.html
true
939923276739022787
UTF-8
Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago