post-feature-image
HomeMajuu

Mbwa ahukumiwa kifo kwa kufanya ngono na mvulana wa miaka 19, mvulana ashikiliwa

Kijana wa miaka 19 anaetoka katika jamii ya Iguosa, huko Nigeria ana...

Photo's(18+):- Teenagers murdered, women hounded on the street and money so tight even the strippers can't get paid: Inside 'prison cell' Crimea after Russian invasion
Upigaji/Uuzaji wa Picha za Kalenda Mpya ya 2015 Wapamba Moto, Nadia Forde Apiga Picha Hizi Hatari za ****
Lady Gaga Ni Shida tupu, Avua Vazi la Ajabu na Kutembea Mtupu mchana Kweupe - Huko France
Kijana wa miaka 19 anaetoka katika jamii ya Iguosa, huko Nigeria anashikiliwa na polisi wa mji wa Edo kwa tuhuma za kufanaya mapenzi na mbwa.
Kijana huyo aliyetajwa kwa jina moja la Osagiator, anadaiwa kumpeleka mbwa huyo kwenye jengo moja ambalo halijakamilika ambapo humo alitekeleza alichotekeleza..!
Akizungumzia jinsi ambavyo kijana huyo alikamatwa, mkazi wa eneo hilo, George Ogbonmwan aliiambia Vanguard kuwa alimuona kijana huyo mdogo akiwa amembeba mbwa yule kama mtoto na kwa mazingira aliyoyaona akadhani kijana huyo amemuiba na ndipo alipowashitua wenzake wakaamua kumfuatilia.
Lakini kufika katika jengo hilo walimkuta kijana huyo akifanya ngono na mbwa huyo kitu ambacho kiliwashangaza na kuamua kuita polisi.
Baada ya kukamatwa, kijana huyo akiwa katikati ya umati wa watu na polisi alijitetea kuwa alikuwa anatembea barabarani na ghafla akamuona mbwa huyo akimfuatilia na ndipo akaamua kumchukua lakini hajui nini kilimuingia hadi akaamua kufanya nae kitendo hicho.
“I was walking along the street. I saw a dog following me and I carried it like a baby. I just went into the uncompleted building where I did what I did to it. I don’t know what came over me.” Alisema kijana huyo.
Mmiliki wa mbwa huyo yeye alimkataa kwa madai kuwa sasa ameshachafuliwa na ameamua kumkabidhi kabisa kijana huyo.
 “The dog has to follow him. I have nothing to do with the dog again.”
Lakini mbwa yule asiye na hatia alijikuta akipata hukumu nzito ya kifo kutoka kwa wananchi kwa kukwa uongozi wa jamii hiyo wa kimila kwa hiyo mbwa huyo ni mkosi na haramu.
Wakazi hao walidai kuwa kitendo alichokifanya kijana huyo ni kinyume cha ubinadamu na kwamba aendelee kushikiliwa na polisi na asikanyage tena katika eneo hilo.
Chanzo: Vanguard.
Name

Burudani Habari Hot News Magazeti Majuu Michezo Teknolojia/Movie Track (Audio & Video)
false
ltr
item
Tabasam Blog: Mbwa ahukumiwa kifo kwa kufanya ngono na mvulana wa miaka 19, mvulana ashikiliwa
Mbwa ahukumiwa kifo kwa kufanya ngono na mvulana wa miaka 19, mvulana ashikiliwa
http://www.timesfm.co.tz/content/uploads/2014/8/14/cache/Mbwa_full.jpg
Tabasam Blog
https://tabasmtza.blogspot.com/2014/08/mbwa-ahukumiwa-kifo-kwa-kufanya-ngono.html
https://tabasmtza.blogspot.com/
http://tabasmtza.blogspot.com/
http://tabasmtza.blogspot.com/2014/08/mbwa-ahukumiwa-kifo-kwa-kufanya-ngono.html
true
939923276739022787
UTF-8
Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago