post-feature-image
HomeBurudani

Exclusive: Babu Tale akanusha tuhuma za Diamond kufanya biashara ya unga

Baada ya gazeti la Amani leo (August 21) kuandika story inayomhusisha Diamond na biashara ya madawa ya kulevya,...

CHENI YA SH. MIL. 6 YAMFIKISHA POLISI AUNTY EZEKIEL
(+18)DENTI WA CHUO AVUJISHIWA PICHA ZA UTUPU, BAADA YA KUJISAHAU NA KUMPA JAMAA FLASH YENYE GROUP WORK
Ray C kuachia wimbo mpya MshumMshum (kiss kiss) November hii
Baada ya gazeti la Amani leo (August 21) kuandika story inayomhusisha Diamond na biashara ya madawa ya kulevya, meneja wa msanii huyo Babu Tale amekanusha taarifa hizo na kudai muziki anaofanya Diamond unalipa kuliko madawa.
Akizungumza  leo, Babu Tale amesema pesa anayoingiza Diamond kupitia muziki ni nyingi kulipo pesa ya madawa.
“Tunalipwa milioni 20 show moja, tunalipwa dola elfu 25,000 show moja, hii ni zaidi ya madawa ya kulevya,” amesema Tale.
“We get more money from music, sio kwenye madawa ya kulevya, hatufanyi hizo biashara na kama wanahisi sisi tunafanya tunawaruhusu watufanyie investigation hata kwa muda wa miaka kumi ina maana tunavyopita pale airport hawana vifaa vya kutuchunguza? Ipo wazi hata Global walishindwa kufanya kazi na sisi kwa sababu sisi ni wakubwa. Sasa leo hii tunauza madawa ya kulevya kwa sababu tunakomaa kwenye bei zetu. September tunafanya show kubwa ya Unplugged na msanii wa kwanza hapa kufanya ile show ni Diamond na ile show hawalipi hela ya kis**e, wataendelea kuona watu wanauza madawa ya kulevya, hakuna msanii wa Tanzania anayefanya show kwa walau dola elfu 10,000 ni Diamond peke yake wengine ni dola elfu 2000, 2500 elfu 3,000 mwisho. Tuna show Marekani show kumi na tano (15) show kumi na tano dola elfu ngapi? Na kwa hapa Tanzania hatufanyi show chini ya dola elfu 15,000,” ameongeza Tale.
Name

Burudani Habari Hot News Magazeti Majuu Michezo Teknolojia/Movie Track (Audio & Video)
false
ltr
item
Tabasam Blog: Exclusive: Babu Tale akanusha tuhuma za Diamond kufanya biashara ya unga
Exclusive: Babu Tale akanusha tuhuma za Diamond kufanya biashara ya unga
http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/08/FRONTAMANI-530x482.jpg
Tabasam Blog
https://tabasmtza.blogspot.com/2014/08/exclusive-babu-tale-akanusha-tuhuma-za.html
https://tabasmtza.blogspot.com/
http://tabasmtza.blogspot.com/
http://tabasmtza.blogspot.com/2014/08/exclusive-babu-tale-akanusha-tuhuma-za.html
true
939923276739022787
UTF-8
Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago