post-feature-image
HomeBurudani

KIBAO KATA CHA VANITA MASTAA WAFURIKA .

Mastaa wa filamu wa Bongo Movies juzi walifurika kwenye 'kibao kata'amba...

CHENI YA SH. MIL. 6 YAMFIKISHA POLISI AUNTY EZEKIEL
(+18)DENTI WA CHUO AVUJISHIWA PICHA ZA UTUPU, BAADA YA KUJISAHAU NA KUMPA JAMAA FLASH YENYE GROUP WORK
Ray C kuachia wimbo mpya MshumMshum (kiss kiss) November hii



Mastaa wa filamu wa Bongo Movies juzi walifurika kwenye 'kibao kata'ambayo ni  shughuli ya kumuaga msanii mwenzao, Vanita Omary kilichofanyika kwenye Ukumbi wa PG Hall (zamani Asset Club) jijini Dar.
Katika shughuli hiyo mastaa walionekana kucharuka kwa kucheza huku wengine wakiwa wamelewa chakari tofauti na muonekano wao wawapo mitaani.
Wolper aliongoza wasanii wenzake kwenye kukata mauno na kuchangamsha shughuli nzima ambayo ilifikia tamati saa sita usiku.
 Picha na Hamida Hassan

Zaidi Bofya Hapa
Name

Burudani Habari Hot News Magazeti Majuu Michezo Teknolojia/Movie Track (Audio & Video)
false
ltr
item
Tabasam Blog: KIBAO KATA CHA VANITA MASTAA WAFURIKA .
KIBAO KATA CHA VANITA MASTAA WAFURIKA .
http://api.ning.com:80/files/q34XLvoT5YhW90c5bRHryzgngB8U-wHGsAHOHkjPhb73Bv2nzfRlwdgNXYgpnSZKFqj793bHiBnqV1TVnsvwVHUY*LnMMGN0/1.jpg?width=650
Tabasam Blog
https://tabasmtza.blogspot.com/2014/05/kibao-kata-cha-vanita-mastaa-wafurika.html
https://tabasmtza.blogspot.com/
http://tabasmtza.blogspot.com/
http://tabasmtza.blogspot.com/2014/05/kibao-kata-cha-vanita-mastaa-wafurika.html
true
939923276739022787
UTF-8
Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago