Archive Pages Design$type=blogging

MATONYA AMVAA JAYDEE, KISA PICHA YA UDHALILISHAJI

STAA aliyewahi kukamata vilivyo kwenye anga ya muziki wa Bongo Fleva, Shabani Rama...

STAA aliyewahi kukamata vilivyo kwenye anga ya muziki wa Bongo Fleva, Shabani Ramadhani ‘Matonya’ ameibuka na kumvaa mwanadada Judith Wambura ‘Jide au Lady Jaydee’ akidai amemdhalilisha kwa mashabiki wake.
Staa aliyewahi kukamata vilivyo kwenye anga ya muziki wa Bongo Fleva, Shabani Ramadhani ‘Matonya’
Akizungumza na mwanahabari wetu, Matonya alisema anamtafuta Jide popote alipo ili amuulize kinaga ubaga kwa nini aliamua kuposti picha kwenye mitandao yake ya kijamii ikimuonesha akiwa hajitambui pasipo kumtaarifu.
Mwanadada Judith Wambura ‘Jide au Lady Jaydee’.
“Nimeumizwa sana na Jide kwa kitendo chake cha kuamua kunidhalilisha kwa kiasi hicho tena akijua mimi ni mwanamuziki mwenzake na kama kuna kitu aliona simfurahishi kwenye mwenendo wa maisha yangu basi alikuwa wazi kuniita na kunikalisha chini na siyo kama uamuzi alioutumia wa kunianika kwenye mitandao,” alisema Matonya.
Matonya alifafanua kuwa picha hiyo alipigwa katika video yake mpya lakini Jide akaichukua na kuiweka mitandaoni pasipo kumuuliza.

Matonya akiwa mtungi.
“Ile picha aliyoitumia kunidhalilisha ilikuwa ni ya video yangu ya wimbo mpya unaoitwa Homa ya Jiji ambayo itatoka hivi karibuni, sasa yeye ameweka mitandaoni na kusababisha watu wanidharau kwa kuona nimelewa chakari, asiponiomba radhi nitahakikisha namfikisha mahakamani,” alisema Matonya.
Kupitia ukurasa wake wa Facebook, Jide aliiposti picha ya Matonya akiwa amelala na kusindikiza na ujumbe ulioonesha kama hamjui msanii huyo hali iliyosababisha mashabiki wengi kumsema vibaya Matonya.

COMMENTS

Name

Burudani Habari Hot News Magazeti Majuu Michezo Teknolojia/Movie Track (Audio & Video)
false
ltr
item
Tabasam Blog: MATONYA AMVAA JAYDEE, KISA PICHA YA UDHALILISHAJI
MATONYA AMVAA JAYDEE, KISA PICHA YA UDHALILISHAJI
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEixKFYMvz2f_l69WGRmjzQdcKl20vGnFPWut9U2tKpl1SQrszQKgcxv2teC4PQq2V0H1TOvEE42wk1najFH-nUB1QOaPNpxYAGf2ofG-fXQYlu3959kQA1TulQUbNviIup46odAVCj3MK5u/s1600/matonyaOOOOOOOO.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEixKFYMvz2f_l69WGRmjzQdcKl20vGnFPWut9U2tKpl1SQrszQKgcxv2teC4PQq2V0H1TOvEE42wk1najFH-nUB1QOaPNpxYAGf2ofG-fXQYlu3959kQA1TulQUbNviIup46odAVCj3MK5u/s72-c/matonyaOOOOOOOO.jpg
Tabasam Blog
https://tabasmtza.blogspot.com/2015/01/matonya-amvaa-jaydee-kisa-picha-ya.html
https://tabasmtza.blogspot.com/
http://tabasmtza.blogspot.com/
http://tabasmtza.blogspot.com/2015/01/matonya-amvaa-jaydee-kisa-picha-ya.html
true
939923276739022787
UTF-8
Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago