Stori: Issa Mnali Katika hali ya kushangaza, mastaa wawili wa muziki, Baby Madaha n...
Stori: Issa Mnali
Katika hali ya kushangaza, mastaa wawili wa muziki, Baby Madaha na Haroun Kahena ‘Inspector Haroun’ wamenaswa usiku wakila bata huku wakiwa kimahaba.
Katika hali ya kushangaza, mastaa wawili wa muziki, Baby Madaha na Haroun Kahena ‘Inspector Haroun’ wamenaswa usiku wakila bata huku wakiwa kimahaba.
Baada ya paparazi wetu kujitokeza na
kuanza kuwafotoa, Inspector ambaye ni mume wa mtu alishituka na
kujinasua kutoka kwenye mwili wa mwanadada huyo.
Mtu mzima ‘Inspector Haroun’ na Baby Madaha wakizuga flani hivi... baada ya kuhisi uwepo wa paparazi wetu eneo la tukio.
Alipoulizwa juu ya kile alichokuwa akifanya
wakati ni mume wa mtu, Inspector alisema: “Kaka kwani kuna kibaya gani
tulichokuwa tunafanya, tupo hapa tunapanga mambo yetu ya muziki na wala
hakuna ishu zaidi.”