Archive Pages Design$type=blogging

DIDA: EZDEN AKIOA, NITAANZA KUMCHANGIA!

Na Imelda Mtema MTANGAZAJI mwenye maneno lukuki kutoka Radio Times FM, Khadija Shai...

Na Imelda Mtema MTANGAZAJI mwenye maneno lukuki kutoka Radio Times FM, Khadija Shaibu ‘Dida’ amesema kuwa endapo mtalaka wake, Ezden Jumanne akitaka kuoa yeye atakuwa wa kwanza kutoa mchango wa harusi hiyo.
Mtangazaji kutoka Radio Times FM, Khadija Shaibu ‘Dida’.
Dida ambaye kwa sasa yupo singo, alisema japokuwa wameacha na Ezden, lakini hana bifu naye kwa sababu anaamini kuwa yuko katika harakati za kutafuta mke bora hivyo haoni shida kumchangia.
Dida akiwa na mtalaka wake, Ezden Jumanne.
“Ninachoamini mimi Ezden bado anasaka mke mwema na hiyo ni nzuri na wala siwezi kuwa na bifu na mtu wake yeyote atakayempata, nitapenda sana. Haya ndiyo maisha yasiyokuwa na chuki yanayotakiwa,” alisema Dida.

COMMENTS

Name

Burudani Habari Hot News Magazeti Majuu Michezo Teknolojia/Movie Track (Audio & Video)
false
ltr
item
Tabasam Blog: DIDA: EZDEN AKIOA, NITAANZA KUMCHANGIA!
DIDA: EZDEN AKIOA, NITAANZA KUMCHANGIA!
http://api.ning.com:80/files/DmFIhqID0Fqd*mzMkkiYkrix9mr*pWw6Tq4BNhjmfGgNKENT5i2D74Pyv*msDzcQFtLQkQGYECdwzh94TCqwA6xtJOcqGAEl/dida.jpg
Tabasam Blog
https://tabasmtza.blogspot.com/2014/11/dida-ezden-akioa-nitaanza-kumchangia.html
https://tabasmtza.blogspot.com/
http://tabasmtza.blogspot.com/
http://tabasmtza.blogspot.com/2014/11/dida-ezden-akioa-nitaanza-kumchangia.html
true
939923276739022787
UTF-8
Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago