post-feature-image
HomeBurudaniTrack (Audio & Video)

Video:- Msanii wa Kenya atumia tshs milioni 12 kukodi helikopta kuhudhuria hafla za mwanae na mdogo wake, Nairobi na Eldoret kwa siku 1

Muimbaji wa Kenya, Esther Akoth maarufu kama Akothee ambaye hivi karibuni alikuwa nchini Tanzania, ametumia shilingi 700,000 za Kenya a...

Mpya(Aibu)Picha/Video(18+):- Wanaswa Wakizi Katika Ofisi za Benk ya Rabobank - Marekani
Diamond Platnumz - Maradhi Ya Moyo | Download/Listen [LEAKED]
Video(18+):- Hii Ndio Video Ya U2pu Ya Kim Kardashian Iliyovuja - Tafadhari Hii Ni kwa Ajili Ya Wakubwa Tu

Muimbaji wa Kenya, Esther Akoth maarufu kama Akothee ambaye hivi karibuni alikuwa nchini Tanzania, ametumia shilingi 700,000 za Kenya ambazo ni zaidi ya shilingi milioni 12 za Tanzania kuhudhuria hafla mbili ikiwemo ya mwanae wa kike zilizofanyika siku moja.
Esther Akoth aka Akothee akiwa kwenye helikopta aliyokodi
Akothee ambaye ni mkurugenzi wa kampuni ya Akothee Safaris: Tours & Travel ya Mombasa, Kenya ameiambia Bongo5 kuwa imemlazimu kutumia gharama hiyo kwakuwa hakutaka kukosa hafla hizo zilizofanyika leo katika miji tofauti, Eldoret na Nairobi nchini humo.
IMG-20141003-WA0005
“Sikuwa na namna lakini imenilazimu kuhudhuria hafla zote bila kuumiza hisia za mwanangu Prudence Vanpelt ambaye yupo Utawala Academy Nairobi na pia kukosa mahafali ya mdogo wangu Moi University, Eldoret,” amesema.
IMG-20141003-WA0006 Akothee na meneja wake
“Bila kusahau kazi yangu na mapenzi katika muziki, natakiwa kurejea Nairobi kesho (Jumamosi) kufungua show ya Chameleone kwenye party ya huko Athi River, Nairobi.”
Akothee amesema rubani wa helikopta hiyo ndiye aliyembeba Akon wakati akiwa Kenya. Mfahamu zaidi msanii huyo kwa interview aliyofanya na Bongo5 hivi karibuni.

Name

Burudani Habari Hot News Magazeti Majuu Michezo Teknolojia/Movie Track (Audio & Video)
false
ltr
item
Tabasam Blog: Video:- Msanii wa Kenya atumia tshs milioni 12 kukodi helikopta kuhudhuria hafla za mwanae na mdogo wake, Nairobi na Eldoret kwa siku 1
Video:- Msanii wa Kenya atumia tshs milioni 12 kukodi helikopta kuhudhuria hafla za mwanae na mdogo wake, Nairobi na Eldoret kwa siku 1
http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/10/IMG-20141003-WA0004.jpg
https://i.ytimg.com/vi/LXSrwTYiVLs/default.jpg
Tabasam Blog
https://tabasmtza.blogspot.com/2014/10/video-msanii-wa-kenya-atumia-tshs.html
https://tabasmtza.blogspot.com/
http://tabasmtza.blogspot.com/
http://tabasmtza.blogspot.com/2014/10/video-msanii-wa-kenya-atumia-tshs.html
true
939923276739022787
UTF-8
Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago