Archive Pages Design$type=blogging

Sean Kingston hutoza $30,000 kufanya collabo, AY aeleza alivyofanikiwa kurekodi nae bila kumlipa

Licha ya Sean Kingston kutoza gharama kubwa kwa watu wanaotaka kufanya nae collabo, lakini mzee wa commercial A...

Licha ya Sean Kingston kutoza gharama kubwa kwa watu wanaotaka kufanya nae collabo, lakini mzee wa commercial Ambwene Yessaya a.k.a AY amesema hadi sasa amesharekodi nae mara tatu bila kumlipa pesa yoyote.
AY2
AY ameiambia Bongo5 kuwa kipaji ndio kilichopelekea kupata nafasi ya kufanya nae wimbo, licha ya kuwa Sean huwatoza watu wengine dola 30,000 kufanya nae collabo.
“Hajawai kunilipisha, talent yako ndio inakubeba sometimes” amesema AY. “Unajua ukiweka hela mbele kwaajili ya kufanya collabo na watu, inakua talent yako ndo inabebwa na hela, usipokuwa na hela hamna kitu tena. So mi nachofanya naitumia talent yangu. Kwanza inaanza ushkaji inafata talent, ikija talent sasa kunakua kuna kitu wanaita unajenga nae trust..”
“ingawa watu wengine wakienda wanaambiwa dola elfu 30 kurekodi nae, sio mchezo, na mimi namwingiza studio mara ya tatu, unajua mi nina ngoma nae mbili, inagawa moja hatukuifurahia hivyo tukasema hii haitatoka.”
AY ambaye anatarajia kuachia collabo hiyo aliyofanya na Sean Kingston mwezi ujao (November) amesema hivi sasa wamekua marafiki wa karibu sana.
“sometimes yeye unakuta alienda studio yupo na kina Omarion kwenda kuangalia ngoma yangu imemixiwaje, ananiambia oya tupo hapa na kina Omarion jamaa wanafurahia kazi nini, ukija next time tunaweza kuonana nao vitu kama hivyo huwezi jua anakutengenezea daraja la kwenda sehemu nyingine zaidi. Kwahiyo mi siaminigi kulipa hela ili kufanya collabo no, sijawahi kufanya hivyo, kwasababu hata mi mwenyewe mpaka nikubali collabo na mtu naangalia talent.”
Akizungumzia collabo hiyo ambayo imekaa muda mrefu bila kutoka tangu aanze kuizungumzia amesema,
“November naitoa…unajua track yangu na Sean tulibadilisha tena , yaani unajua wimbo huwezi kukaa nao muda mrefu vile kwahiyo inabidi mrekodi tena, kwahiyo tumebadilisha badilisha baadhi ya sehemu, yaani imekuwa tofauti na vile kama mwanzo ilitakiwa itoke.“

COMMENTS

Name

Burudani Habari Hot News Magazeti Majuu Michezo Teknolojia/Movie Track (Audio & Video)
false
ltr
item
Tabasam Blog: Sean Kingston hutoza $30,000 kufanya collabo, AY aeleza alivyofanikiwa kurekodi nae bila kumlipa
Sean Kingston hutoza $30,000 kufanya collabo, AY aeleza alivyofanikiwa kurekodi nae bila kumlipa
http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/10/AY2.jpg
Tabasam Blog
https://tabasmtza.blogspot.com/2014/10/sean-kingston-hutoza-30000-kufanya.html
https://tabasmtza.blogspot.com/
http://tabasmtza.blogspot.com/
http://tabasmtza.blogspot.com/2014/10/sean-kingston-hutoza-30000-kufanya.html
true
939923276739022787
UTF-8
Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago