Archive Pages Design$type=blogging

Nikki Wa Pili aamua kurudi chuo kusoma PHD baada ya kuona muda unapotea

Mwishoni mwa mwaka jana 2013 rapper Nikki Wa Pili aliwahi kusema “Namuomba Mungu anipe PHD nikiwa Kijana”, na hatimaye ndoto hizo zinaen...

Mwishoni mwa mwaka jana 2013 rapper Nikki Wa Pili aliwahi kusema “Namuomba Mungu anipe PHD nikiwa Kijana”, na hatimaye ndoto hizo zinaenda kutimia.(Ingia hapa)

Nickson Simon anayefahamika kwa jina la kisanii Nikki Wa Pili ambaye pia ni msemaji wa kundi la Weusi, amesema leo kuwa ameamua kurudi chuo kwaajili ya kusoma PHD in Development studies baada ya kuona ana muda mwingi unaopotea.
“Kilichonisukuma ni kwamba yaani sasa hivi 100% nafanya muziki, na navyokuwa nafanya muziki hauandiki nyimbo kila saa hauendi studio kila saa, unafanya muziki wakati una mood. Sasa kama kijana nimeona natumia muda mwingi sana nakaa gheto naangalia movie, nikaona huu muda naweza nikafanya kitu kingine ambacho kwangu naona ni productive(…) kwahivyo nikaona kukaa tu hivyo muda unapotea bure unajua muda una thamani sana”.
Nikki amesema tayari ameshaanza kufanya taratibu za usajili na wiki ijayo ataanza kuingia darasani.
“Yaani hapa navyoongea na wewe naenda kumalizia registration, masomo tutaanza wiki ijayo, wiki hii tutaanza orientation UDSM.”
Rapper huyo wa ‘Sitaki Kazi’ ambaye mwaka jana alihitimu shahada yake ya pili ya Uzamili katika Maendeleo (Masters) chuo kikuu cha Dar es salaam, ameelezea malengo yake atakapohitimu PHD.
“Malengo yangu ni kwamba kuna hivi vitu vyangu ambavyo navifanya binafsi nataka baadae vije viwe vikubwa, kama hii taasisi yangu Twaonekana nataka ije iwe kubwa, na pia nikienda shule inaniongezea confidence, naweza kwenda nikaongea na watu wengi wakaniamini. Nataka kufanya biashara, na baadae sana kama nitafikiria kufanya kazi labda nitahitaji kuwa mwalimu wa chuo.”

COMMENTS

Name

Burudani Habari Hot News Magazeti Majuu Michezo Teknolojia/Movie Track (Audio & Video)
false
ltr
item
Tabasam Blog: Nikki Wa Pili aamua kurudi chuo kusoma PHD baada ya kuona muda unapotea
Nikki Wa Pili aamua kurudi chuo kusoma PHD baada ya kuona muda unapotea
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhrC7mrihmfhX3pldrecINF_yGVCcHhVxR2K2z1x9aP3sPTABPQX7nLvC-OuBFSEsPBJRJ03BKGYyZn6ocIivLOPhdivlOBYY9XXPaVVrzl2qUDroAg1Hy7wduvA2_uayDExI3l0Adylllj/s1600/Nikki-wa-pili.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhrC7mrihmfhX3pldrecINF_yGVCcHhVxR2K2z1x9aP3sPTABPQX7nLvC-OuBFSEsPBJRJ03BKGYyZn6ocIivLOPhdivlOBYY9XXPaVVrzl2qUDroAg1Hy7wduvA2_uayDExI3l0Adylllj/s72-c/Nikki-wa-pili.jpg
Tabasam Blog
https://tabasmtza.blogspot.com/2014/10/nikki-wa-pili-aamua-kurudi-chuo-kusoma.html
https://tabasmtza.blogspot.com/
http://tabasmtza.blogspot.com/
http://tabasmtza.blogspot.com/2014/10/nikki-wa-pili-aamua-kurudi-chuo-kusoma.html
true
939923276739022787
UTF-8
Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago