post-feature-image
HomeBurudani

DIAMOND, YAMOTO BAND KUTUMBUIZA SIKU YA MSANII DAR

Msanii Diamond (mwenye shati nyeupe) akiwa na Yamoto Band. Baadhi ya waandishi wa...


Msanii Diamond (mwenye shati nyeupe) akiwa na Yamoto Band.
Baadhi ya waandishi wa habari wakiwa kwenye hafla hiyo.
WANAMUZIKI Diamond na  Yamoto Band wanatarajiwa kutumbuiza katika tamasha la Siku ya Msanii litakalofanyika  Oktoba 25 mwaka huu katika ukumbi wa Mlimani City, jijini Dar es Salaam.
Akizungumza leo katika ukumbi wa Maelezo , Ofisa Uhusiano wa Siku ya Msanii (SYM) , Peter Mwendapole, amewataja wasanii wengine watakaokuwapo ni pamoja na mwanamitindo Asia Idarous, Miss Tanzania, Miss Universe na  wasanii toka Kenya, Erick na Fred Omondi huku mgeni rasmi  akitarajiwa kuwa Makamu wa Rais, Gharib Bilal.
Name

Burudani Habari Hot News Magazeti Majuu Michezo Teknolojia/Movie Track (Audio & Video)
false
ltr
item
Tabasam Blog: DIAMOND, YAMOTO BAND KUTUMBUIZA SIKU YA MSANII DAR
DIAMOND, YAMOTO BAND KUTUMBUIZA SIKU YA MSANII DAR
http://api.ning.com:80/files/TwbgnXl4eNVsFNR6ksYRVo0dKgV4f1hejICSQroz5QHUYbMLjKzvG9NXl-8GIbD7pwa5L7DSG8vp-9nQ9tCtwjEAXHfRGIz6/1.JPG?width=650
Tabasam Blog
https://tabasmtza.blogspot.com/2014/10/diamond-yamoto-band-kutumbuiza-siku-ya.html
https://tabasmtza.blogspot.com/
http://tabasmtza.blogspot.com/
http://tabasmtza.blogspot.com/2014/10/diamond-yamoto-band-kutumbuiza-siku-ya.html
true
939923276739022787
UTF-8
Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago