Archive Pages Design$type=blogging

Young Dee aingia mkataba mnono na king’amuzi cha Star Times

Rapper Young Dee ameingia mkataba mnono na kampuni ya king’amuzi cha Star Times ili kuwa balozi wa channel ya Qyou. Akizungumza na H...

Rapper Young Dee ameingia mkataba mnono na kampuni ya king’amuzi cha Star Times ili kuwa balozi wa channel ya Qyou.
Young Dee kwa nyuma akiwa ameshika makata
Akizungumza na Hisia leo, Young Dee amesema kuwa mkataba huo umempa mkwanja mzuri ili aweze kufanya kazi nzuri ya balozi.
“Nimesaini mkataba na Star Times kutumia image yangu na pia kama ambassador wa QYou channel ya vijana. Kwahiyo tutafanya press conference kwaajili ya kutangaza rasmi. Channel Itakuwa inaonyesha mambo ya entertainment kuhusu vijana. Kuhusu kunilipa ni mambo personal ila jua inanilipa vizuri ndio maana nimekubali kufanya kazi hiyo,” amesema Young Dee.

COMMENTS

Name

Burudani Habari Hot News Magazeti Majuu Michezo Teknolojia/Movie Track (Audio & Video)
false
ltr
item
Tabasam Blog: Young Dee aingia mkataba mnono na king’amuzi cha Star Times
Young Dee aingia mkataba mnono na king’amuzi cha Star Times
http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/09/Young-Dee-kwa-nyuma-akiwa-ameshika-makata.jpg
Tabasam Blog
https://tabasmtza.blogspot.com/2014/09/young-dee-aingia-mkataba-mnono-na.html
https://tabasmtza.blogspot.com/
http://tabasmtza.blogspot.com/
http://tabasmtza.blogspot.com/2014/09/young-dee-aingia-mkataba-mnono-na.html
true
939923276739022787
UTF-8
Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago