post-feature-image
HomeBurudani

Ndege kubwa zaidi ya abiria duniani yaanza safari ndefu zaidi, angalia picha za ndani - Picha

Shirika la ndege la Australia linalofahamika kama Qantas limeanza kurusha ndege yake amb...

Shirika la ndege la Australia
linalofahamika kama Qantas limeanza kurusha ndege yake ambayo inatajwa kuwa kubwa zaidi ya abiria duniani na inayofanya safari zake kwa umbali mrefu zaidi.
Ndege hiyo iliyotwa kama Airbus A380 ilitua katika uwanja wa kimataifa wa Dallas-Fort Worth saa 15 tangu ilipoondoka Sydney, Australia safari ya Kilometer 13,805 ikiwa na abiria 480 .
Uwanja wa kimataifa wa Dallas- Fort Worth ni uwanja mkubwa wa ndege unaounganisha ndege zote za Marekani na Latin America. Uwanja huo umeonekana kufaa zaidi kwa ndege hiyo.
Angalia picha za ndani:
Chumba cha kulala

Name

Burudani Habari Hot News Magazeti Majuu Michezo Teknolojia/Movie Track (Audio & Video)
false
ltr
item
Tabasam Blog: Ndege kubwa zaidi ya abiria duniani yaanza safari ndefu zaidi, angalia picha za ndani - Picha
Ndege kubwa zaidi ya abiria duniani yaanza safari ndefu zaidi, angalia picha za ndani - Picha
http://timesfm.co.tz/content/uploads/2014/9/30/cache/ndege%20kubwa_full.JPG
Tabasam Blog
https://tabasmtza.blogspot.com/2014/09/ndege-kubwa-zaidi-ya-abiria-duniani.html
https://tabasmtza.blogspot.com/
http://tabasmtza.blogspot.com/
http://tabasmtza.blogspot.com/2014/09/ndege-kubwa-zaidi-ya-abiria-duniani.html
true
939923276739022787
UTF-8
Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago