Archive Pages Design$type=blogging

MAINDA NA UGUMU WA KUACHA MKOROGO

STAA wa filamu Bongo, Ruth Suka ‘Mainda’ amefunguka kuwa miongoni mwa vitu vilivyo...

STAA wa filamu Bongo, Ruth Suka ‘Mainda’ amefunguka kuwa miongoni mwa vitu vilivyokuwa vimeuteka ujana wake ni pamoja na matumizi ya mkorogo ambapo ilikuwa vigumu kuacha baada ya kuokoka.
Staa wa filamu Bongo, Ruth Suka ‘Mainda’.
Akipiga stori na paparazi wetu, Mainda alisema kutokana na starehe za ujana pamoja na kutaka kuonekana mrembo, alitumia vipodozi hatari bila kujua kwamba vina madhara makubwa mwilini mwake.
 “Kusema kweli niliamini mkorogo ni kitu ambacho kingeniongezea mvuto kwa kiasi kikubwa, bila kujua kuwa nilikuwa najisababishia madhara mwilini.
Pia nilikuwa nafanya kitu kisichompendeza Mungu, katika kujitakasa na maovu yangu kwa Bwana ndiyo maana nikaamua kuacha kabisa kujichubua japo haikuwa rahisi,” alisema Mainda.

COMMENTS

Name

Burudani Habari Hot News Magazeti Majuu Michezo Teknolojia/Movie Track (Audio & Video)
false
ltr
item
Tabasam Blog: MAINDA NA UGUMU WA KUACHA MKOROGO
MAINDA NA UGUMU WA KUACHA MKOROGO
http://api.ning.com:80/files/bYocnjXOIXXRN8vCvIAP-SjQNkS*omCDLEeOQEfKkIJUgGlh1eXI6K0pKjPUmR766dLQng2QfSmSpJYUm23RyzaeFzV5hZze/ruth_suka_mainda2.jpg?width=650
Tabasam Blog
https://tabasmtza.blogspot.com/2014/09/mainda-na-ugumu-wa-kuacha-mkorogo.html
https://tabasmtza.blogspot.com/
http://tabasmtza.blogspot.com/
http://tabasmtza.blogspot.com/2014/09/mainda-na-ugumu-wa-kuacha-mkorogo.html
true
939923276739022787
UTF-8
Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago