Archive Pages Design$type=blogging

Alikiba afunga Goli la pekee dhidi Bongo Movie

Msanii wa Bongoflava ambae amerudi kwa nguvu sana katika tasnia hiyo Leo katika mechi ya mpira wa miguu kati ya Bongo Flava na Bongo ...

IMG_2357.JPG
Msanii wa Bongoflava ambae amerudi kwa nguvu sana katika tasnia hiyo Leo katika mechi ya mpira wa miguu kati ya Bongo Flava na Bongo Movie iliyochezwa katika “Tamasha la Matumaini” lililofanyika katika uwanja wa Taifa jijini Dar Es Salaam, amefanikiwa kufunga goli pekee lililoipatia ushindi timu ya Bongo Flava.
Mashabiki waliosheheni uwanjani hapo walionyesha kumkubali msanii huyu kwa kitendo cha kumshangilia sana wakati akiingia uwanjani kabla ya hata mechi kuanza. Msanii Alikiba ni mmoja kati ya wasanii waliokuwa na wapenzi wa kweli (Die Hard Fans) ambao wapo nae daima akiwepo kwenye game au la.

COMMENTS

Name

Burudani Habari Hot News Magazeti Majuu Michezo Teknolojia/Movie Track (Audio & Video)
false
ltr
item
Tabasam Blog: Alikiba afunga Goli la pekee dhidi Bongo Movie
Alikiba afunga Goli la pekee dhidi Bongo Movie
http://www.gongamx.com/wp-content/uploads/2014/08/IMG_2357.jpg
Tabasam Blog
https://tabasmtza.blogspot.com/2014/08/alikiba-afunga-goli-la-pekee-dhidi.html
https://tabasmtza.blogspot.com/
http://tabasmtza.blogspot.com/
http://tabasmtza.blogspot.com/2014/08/alikiba-afunga-goli-la-pekee-dhidi.html
true
939923276739022787
UTF-8
Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago