Archive Pages Design$type=blogging

Nawasaidia wasanii wachanga kutokana na mateso ambayo nimepata - Ali Kiba

Msanii wa muziki, Ali Kiba amefunguka kwa kusema kuwa anapenda kufanya kollabo na wasanii wachanga ili kuwasaidia kimuziki kwa sababu ...

Msanii wa muziki, Ali Kiba amefunguka kwa kusema kuwa anapenda kufanya kollabo na wasanii wachanga ili kuwasaidia kimuziki kwa sababu yeye mwenyewe alipata shida sana kutoka kimuziki. Ali Kiba
Akizungumza na 255 ya XXL ndani ya Clouds Fm, Ali kiba alisema wakati anataka kutoka kimuziki alitamani kutafuta wasanii wakubwa wa kufanyanao kollabo lakini alishindwa.
“Napenda kuwasaidia kutokana na mimi mwenyewe nilipata tabu sana, nilitamani kufanya ngoma na mastaa, lakini kwa bahati nzuri haikutokea, Dully aliweza kufanya nyimbo na mimi kwa mapenzi yake, alinisikia kwa sababu tulikuwa tunakaa opposite, aliweza kusikia bets akaingia moja kwa moja mpaka ndani ,nadhani unamjua Dully mambo yake ya utundu, akaniambia wewe kumbe ni msanii, nikamwambia yeah mimi naimba, akaniambia sawa basi, umefanya wapi?, niikamwambia, kwaiyo akajua mimi nishaendaga mpaka studio, alikuja pale akaamini na mimi nikaimba nilifuraisha sana kwakweli, akasema twende tukafanye , akajaza mafuta gari yake ,yeye mwenyewe kwa pesa yake, sikufichi nasumbuliwa sana, nasumbuliwa sana kwa kollabo , mpaka nikisema hivi anaona kama hawanielewi , lakini mimi nishajua umuhimu wangu ni kuwasaidia , kwaiyo nawasaidia wasanii wachanga kutokana na mateso ambayo nimepata , kwaiyo napenda kuwatoa kama unavyowaona akina Ommy Dimpoz na wengine wengi” Alisema Ali Kiba

COMMENTS

Name

Burudani Habari Hot News Magazeti Majuu Michezo Teknolojia/Movie Track (Audio & Video)
false
ltr
item
Tabasam Blog: Nawasaidia wasanii wachanga kutokana na mateso ambayo nimepata - Ali Kiba
Nawasaidia wasanii wachanga kutokana na mateso ambayo nimepata - Ali Kiba
http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/05/Ali-Kiba-530x353.jpg
Tabasam Blog
https://tabasmtza.blogspot.com/2014/07/nawasaidia-wasanii-wachanga-kutokana-na.html
https://tabasmtza.blogspot.com/
http://tabasmtza.blogspot.com/
http://tabasmtza.blogspot.com/2014/07/nawasaidia-wasanii-wachanga-kutokana-na.html
true
939923276739022787
UTF-8
Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago