post-feature-image
HomeBurudani

Msanii OMARION atupwa Jela

Omarion akamatwa na kutiwa ndani leo baada ya kupita STOP sign bilankujali alama hiyo ya barabarani. TMZ wameripoti muda mfupi kuwa, t...

Omarion akamatwa na kutiwa ndani leo baada ya kupita STOP sign bilankujali alama hiyo ya barabarani. TMZ wameripoti muda mfupi kuwa, taarifa kutoka katika chanzo chao cha habari ndani ya jeshi la police kuwa baada ya msanii huyo kupita alama hiyo alisimamishwa na police, alipigwa pingu baada ya police huyo kucheki leseni yake kwenye system na kukuta taarifa ya ‘arrest’ kutoka mahakani baada ya kusharau amri ya mahakama alipoitwa kizimbani kwa kosa la kupewa ticket kwa uendeshaji mbaya alioufanya siku za nyuma. Msanii huyo alipigwa pingu na kutiwa jela kwa muda na baadae kuachiwa huru kwa dhamana ya dola za kimarekani $20,000.
Name

Burudani Habari Hot News Magazeti Majuu Michezo Teknolojia/Movie Track (Audio & Video)
false
ltr
item
Tabasam Blog: Msanii OMARION atupwa Jela
Msanii OMARION atupwa Jela
http://www.gongamx.com/wp-content/uploads/2014/07/20140718-231725-83845623.jpg
Tabasam Blog
https://tabasmtza.blogspot.com/2014/07/msanii-omarion-atupwa-jela.html
https://tabasmtza.blogspot.com/
http://tabasmtza.blogspot.com/
http://tabasmtza.blogspot.com/2014/07/msanii-omarion-atupwa-jela.html
true
939923276739022787
UTF-8
Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago