post-feature-image
HomeBurudani

Kenyan Actress alietakiwa kufanya ’12 Years Of Slave’ badala ya ‘Lupita Nyong’o’ ndani ya ‘GOING BONGO’ || BUY On iTUNE NOW

Kenyan actress, Singer  na Model ‘Nyokabi Gethaiga’ a.k.a ‘Kabi Gethaiga’ ambae yupo ndani ya ‘East African’ film ‘Going Bongo’ am...

KHANGA MOJA SASA WAWEKA KANDO MINENGUO NA KUINGIA STUDIO
HII NDIO SHOW YA NGUVU ALIYOFANYA DIAMOND HUKO DODOMA ICHEKI HAPA
New Track:- Linah Ft Diamond - Kizai Zai





Kenyan actress, Singer
 na Model ‘Nyokabi Gethaiga’ a.k.a ‘Kabi Gethaiga’ ambae yupo ndani ya
‘East African’ film ‘Going Bongo’ ambayo ipo tayari kununuliwa rasmi
kwenye iTune LEO. Film hiyo ambayo imefanywa na mtanzania ambayo ni ya
kwanza iliyopo kwenye Level za kimataifa iliyohusisha actors na
producers toka Tanzania na Kenya.



20140709-225141-82301298.jpg


Going BONGO’ ni Film ambayo inamzungumzia American doctor ambae
ameanza career yake ya udaktari mjini California United States of
America, kwa bahati mbaya anajitolea kwenda kufanya kazi ya udaktari
nchini Tanzania kwa muda wa mwezi mmoja bila kujua mazingira ya kazi ya
nchini humo. Katika story hii, daktari huyo baada  ya kukumbana na ugumu
 wa ufanyaji kazi katika nchi za afrika, baadae aliweza kuelewa na
kuzoea mazingira na kujifunza mambo mengi sana katika mila na desturi na
 kuweza kufanya kazi vizuri kuliko alivyotegemea kutokana na watu 
wanavyoishi na kushirikisha maisha yao ya kawaida na kazi ambapo aliweza
 kujenga undugu na urafiki zaidi na wagonjwa katika jamii hiyo.


20140709-225239-82359909.jpg


Film hii ambayo imefanyika jijini Dar Es Salaam Tanzania na Los
Angeles California imeleta changamoto kubwa sana katika utengenezaji wa
Filamu nchini Tanzania na East Africa kwa ujumla.


‘Nyokabi’ ambae ni actress tokea jijini Nairobi nchini Kenya ambae
ameshatokea kwenye production kubwa nchini kenya kama katika filamu ya
‘Half-Life – 2012′ na nyingine iliyofanyika jijini London ijulikanayo
kama ‘I Am Slave – 2010′. Inasemekana kuwa alikuwa miongoni mwa actress
ambao walifikiriwa kwenye Hollywood Film ’12 Years A Slave’ ambayo
nafasi hiyo alifanikiwa kuipata mwanadada ‘Lupita Nyong’o’ ambae
amejikusanyia umaarufu mkubwa sana na kujinyakulia Awards za kutosha
kuanzia ‘Oscars’ na juzi kuongeza nyingine ya  ‘BET Awards’ kwenye role
ya ‘Best Actress’. Mpaka sasa msanii Lupita amepata ofa lukuki za filamu
 huyo Hollywood kutokana na umaarufu alioupata kwenye filamu ya hiyo.

Name

Burudani Habari Hot News Magazeti Majuu Michezo Teknolojia/Movie Track (Audio & Video)
false
ltr
item
Tabasam Blog: Kenyan Actress alietakiwa kufanya ’12 Years Of Slave’ badala ya ‘Lupita Nyong’o’ ndani ya ‘GOING BONGO’ || BUY On iTUNE NOW
Kenyan Actress alietakiwa kufanya ’12 Years Of Slave’ badala ya ‘Lupita Nyong’o’ ndani ya ‘GOING BONGO’ || BUY On iTUNE NOW
http://www.gongamx.com/wp-content/uploads/2014/07/20140709-224808-82088002.jpg
https://i.ytimg.com/vi/m4KwGVe4tj8/default.jpg
Tabasam Blog
https://tabasmtza.blogspot.com/2014/07/kenyan-actress-alietakiwa-kufanya-12.html
https://tabasmtza.blogspot.com/
http://tabasmtza.blogspot.com/
http://tabasmtza.blogspot.com/2014/07/kenyan-actress-alietakiwa-kufanya-12.html
true
939923276739022787
UTF-8
Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago