post-feature-image
HomeBurudani

‘Chris Brown’ ajisikia Vibaya kuona alichosema ‘Karrueche’ kwenye ‘Just KeKe – BET’

Msanii ‘Chris Brown’ ajisikia vibaya sana baada ya kuona Clip ya Girlfriend wake ambayo imetolewa na BET wakati akifanyiwa Interview n...

HIVI NDIVYO PICHA YA SHILOLE NA KAJALA ZILIVYOZUA UTATA MTANDAONI
MARY LUCOS ANAOMBA KURA YAKO KWENYE MASHINDANO YA NANI MKALI CLOUDS TV
Hizi Ndio Picha Nne Za Miss Nigeria Akivalishwa Taji
Msanii ‘Chris Brown’ ajisikia vibaya sana baada ya kuona Clip ya Girlfriend wake ambayo imetolewa na BET wakati akifanyiwa Interview na “Just KeKe” kuhusu maisha yake. Karrueche alitoa machozi na kulalamika kuwa msanii ‘Rihanna’ na Fans wake walimtesa sana baada ya kitendo cha wasanii hao kurudia kwa muda baada ya kuachana. Alisema yeye sio msanii ni mtu wa kawaida tu ambae alikutana na Chris Brown na kumpenda kama mtu wa kawaida na hajawahi hata siku moja kujua ni jinsi gani maisha ya wasanii yanavyokuwa, ila baada ya kitendo hicho Fans wa Rihanna walimrudia kwa matusi na vitisho ambavyo vilimuumiza sana na kutokujua nini cha kufanya katika maisha yake.
Imeripotiwa kuwa Chris Brown baada ya kuona clip hiyo ambayo pia mwanadada Karrueche alitamka kuwa Rihanna ni msanii mkubwa kumpita Chris Brown, lakini msanii hiyo hakuchukia kabisa kitendo ambacho kinaonyesha mabadiliko makubwa sana kwa msanii huyo baada ya kitoka jela na zaidi ya kusema kuwa amegundua kuwa hakuwa Boyfriend mzuri kwa kipindi hicho na anajisikia vibaya sana kwa kitendo hicho kilichotokea na kumfanyia mpenzi wake huyo. Vile vile amesema kuwa kitendo cha Karrueche kutamka kuwa msanii Rihanna ni mkubwa kuliko yeye wala hakimsumbui na kinamfanya aweze kuongeza juhudi kufanya kazi zaidi kuweza kuuza muziki wake na kufanya show ili kufikia viwango vya juu kimuziki duniani.
20140716-170300-61380885.jpg
Breezy ambae amekuwa akitumia sana “Blood Sings” kwa muda mrefu katika usanii wake, hivi karibuni baadabya kutoka jela alitumia kiasi cha $10,000 kwa kubadilisha rangi ‘Lamborghini’ yake moja kuwa blue ambayo sio Blue kabisa inasemekana imekuwa “customised” kwa blue aliyokua anaitaka yeye inayojulikana kama “Blue Sky”
20140716-170638-61598413.jpg
Vile vile ameamua kubadilisha muonekano wake hata wa nywele na kuamua kufanya style ya 1930 ambapo African American wengi wa nchini marekani walikuwa wanatengeneza nywele zao na kuamua kuwa na kuonekano huo ambapo vyombo vingi vya habari havijakubaliana nae kabisa kwa kusema anajiharibia image yake ambayo inapendwa sana na Fans wake
Name

Burudani Habari Hot News Magazeti Majuu Michezo Teknolojia/Movie Track (Audio & Video)
false
ltr
item
Tabasam Blog: ‘Chris Brown’ ajisikia Vibaya kuona alichosema ‘Karrueche’ kwenye ‘Just KeKe – BET’
‘Chris Brown’ ajisikia Vibaya kuona alichosema ‘Karrueche’ kwenye ‘Just KeKe – BET’
http://www.gongamx.com/wp-content/uploads/2014/07/20140716-172204-62524645.jpg
Tabasam Blog
https://tabasmtza.blogspot.com/2014/07/chris-brown-ajisikia-vibaya-kuona.html
https://tabasmtza.blogspot.com/
http://tabasmtza.blogspot.com/
http://tabasmtza.blogspot.com/2014/07/chris-brown-ajisikia-vibaya-kuona.html
true
939923276739022787
UTF-8
Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago