Archive Pages Design$type=blogging

Hivi Ndivyo Wapenzi wa CASTLE LITE walivyohudhuria tamasha la TIMBALAND South Africa

Pichani ni Wapenzi wa Castle Lite toka sehemu mbalimbali ...


1
Pichani ni Wapenzi wa Castle Lite toka sehemu mbalimbali wakipozi katika picha ya pamoja mara baada ya kuwasili Chaf-Pozi, Soweto.
Hatimaye Bia ya Castle Lite iliwapeleka mashabiki wanane nchini Afrika Kusini kushuhudia tamasha la mwanamuziki Timbaland lililofanyika Super Sport Park, Pretoria. Mashabiki hao waliopatikana mara baada ya kushiriki shindano maalum ambalo liliwataka kutuma namba zilizokuwa ndani ya vizibo vya bia hiyo na baadae kuchezeshwa bahati nasibu iliyochagua washindi. Wakiwa nchini Afrika Kusini mashabiki hao waliweza kutembelea sehemu mbalimbali ikiwa ni pamoja na Soweto pia maeneo ya jiji la Pretoria kabla ya kuhudhuria tamasha hilo lililofana2Picha Zaidi Bofya Hapa

COMMENTS

Name

Burudani Habari Hot News Magazeti Majuu Michezo Teknolojia/Movie Track (Audio & Video)
false
ltr
item
Tabasam Blog: Hivi Ndivyo Wapenzi wa CASTLE LITE walivyohudhuria tamasha la TIMBALAND South Africa
Hivi Ndivyo Wapenzi wa CASTLE LITE walivyohudhuria tamasha la TIMBALAND South Africa
http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2014/06/13.jpg
Tabasam Blog
https://tabasmtza.blogspot.com/2014/06/hivi-ndivyo-wapenzi-wa-castle-lite.html
https://tabasmtza.blogspot.com/
http://tabasmtza.blogspot.com/
http://tabasmtza.blogspot.com/2014/06/hivi-ndivyo-wapenzi-wa-castle-lite.html
true
939923276739022787
UTF-8
Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago