Archive Pages Design$type=blogging

Lady Jaydee ni msanii wa kwanza Tanzania kufikisha Likes 300,000 kwenye Facebook.

Msanii wa muziki, Lady Jaydee leo amefikisha likes 300,000 kwenye mtandao wa Facebook na kumfanya kuwa msanii wa kwanza Tanzania kufiki...

Msanii wa muziki, Lady Jaydee leo amefikisha likes 300,000 kwenye mtandao wa Facebook na kumfanya kuwa msanii wa kwanza Tanzania kufikisha idadi hiyo.
p
“Yoooooh!! Mmmefika laki tatu 300,000 na kuzidi, nawashukuru sana. Fanyeni kubarikiwa leo, kesho, kesho kutwa na milele amina. Mapenzi tele toka kwa JayDee,” ameandika.
Wasanii wengine wanaofuata nyuma yake kwa kuwa na likes nyingi kwenye mtandao huo ni pamoja na Masanja Mkandanizaji, 208,053, Diamond Platnum 175,465 na Joti 158,919. Pia wapo wasanii wengine wengi ambao bado akaunti zao zinakuwa taratibu.

COMMENTS

Name

Burudani Habari Hot News Magazeti Majuu Michezo Teknolojia/Movie Track (Audio & Video)
false
ltr
item
Tabasam Blog: Lady Jaydee ni msanii wa kwanza Tanzania kufikisha Likes 300,000 kwenye Facebook.
Lady Jaydee ni msanii wa kwanza Tanzania kufikisha Likes 300,000 kwenye Facebook.
http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/05/p.png
Tabasam Blog
https://tabasmtza.blogspot.com/2014/05/lady-jaydee-ni-msanii-wa-kwanza.html
https://tabasmtza.blogspot.com/
http://tabasmtza.blogspot.com/
http://tabasmtza.blogspot.com/2014/05/lady-jaydee-ni-msanii-wa-kwanza.html
true
939923276739022787
UTF-8
Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago