post-feature-image
HomeBurudani

Kusaga ajitosa kuwapatanisha Diamond na Ali Kiba

Mwanzilishi na Mkurugenzi Mtendaji wa Clouds Media Group, Joseph Kusaga amesema atajaribu kukaa na wasanii wa muziki Diamond na Ali Kiba ...

Mwanzilishi na Mkurugenzi Mtendaji wa Clouds Media Group, Joseph Kusaga amesema atajaribu kukaa na wasanii wa muziki Diamond na Ali Kiba na kuangalia tofauti zao ili kuwapatanisha.
Akizungumza na The Sporah Show hivi karibuni, Kusaga amedai kuwa alikuwa hatambui kama wasanii hao wana matatizo kwenye kazi zao na kuahidi kuwa ataliangalia tatizo lao.
“Kiukweli wote ni watoto wangu, Diamond ananipa heshima sana mimi ,namshukuru, Ali Kiba is the same, nafanya nao kazi na sijawahi kugombana nao. Lakini sijui kama walikuwa wana tatizo ndo nasikia sasa, lakini ngoja nijaribu kuwapigia ni find out kwanini? na kuna tatizo gani between wao, lakini sijawahi kujua wana matatizo hayo.”
Name

Burudani Habari Hot News Magazeti Majuu Michezo Teknolojia/Movie Track (Audio & Video)
false
ltr
item
Tabasam Blog: Kusaga ajitosa kuwapatanisha Diamond na Ali Kiba
Kusaga ajitosa kuwapatanisha Diamond na Ali Kiba
http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/05/page19.jpg
Tabasam Blog
https://tabasmtza.blogspot.com/2014/05/kusaga-ajitosa-kuwapatanisha-diamond-na.html
https://tabasmtza.blogspot.com/
http://tabasmtza.blogspot.com/
http://tabasmtza.blogspot.com/2014/05/kusaga-ajitosa-kuwapatanisha-diamond-na.html
true
939923276739022787
UTF-8
Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago