Nyumbani ni nyumbani na mkataa kwao ni mtumwa. Muigizaji wa Kenya Lupita Nyong’o ambaye anaiwakilisha vizuri nchi hiyo kimataif...
Nyumbani ni nyumbani na mkataa kwao ni mtumwa.
Muigizaji wa Kenya
Lupita Nyong’o ambaye anaiwakilisha vizuri nchi hiyo kimataifa ameonesha
upendo kwa dalada ya Kenya maarufu kama Matatu iliyoandikwa jina lake
kwa herufi kubwa.
Kupitia Instagram page yake yenye followers zaidi ya milioni moja na
laki moja, Lupita amepost picha ya Matatu hiyo kuonesha dunia jinsi
anavyokubalika nyumbani.
“Don’t worry, I have a ride.” #MatatuLove#Kenya” Lupita Nyong’o ameandika kwenye post yake.